Godzillah ‘Amchokonoa’ Ney wa Mitego

Mwanamuziki wa Bongo fleva anayefanya miondoko ya hip hop Godzillah ameibuka na kumchimba Msanii mwenzake wa Bongo fleva, Nay wa Mitego baada ya kumwambia nyimbo yake aliyoitoa ni mbaya.

Nay wa Mitego amaechia nyimbo yake mpya na video yake ya wimbo unaoitwa ‘mikono juu’ lakini kitu cha ajabu kilitokea pale ambapo Godzillah alienda kukomenti kwenye page ya Nay na kusema nyimbo mbaya.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram Nay wa Mitego aliandika maneno haya ili kutambulisha ujio mpya wa video ya wimbo wake wa Mikono juu:

Video ya wimbo wangu wa mikono juu inatoka kesho jumatatu Subscribe kwenye account yangu ya YouTube #Mr Nay uwe wa kwanza kutazama video yangu”.

Baada ya kuweka posti hiyo cha ajabu Godzillah aliibuka na kwenda kuandika kwenye page ya Nay maneno haya:

Wimbo mbaya Emanuel”.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.