Haji Manara Amkabithi Diamond Tuzo ya Heshima.

Msemaji mkuu wa timu ya simba haji manara amemkabithi msanii Diamond Platinumz tuzo ya heshima kwa kuwa amekuwa akilitumia jina hilo la simba ipasavyo hasa kutokana na juhudi zake anazozionesha katika maswala ya muziki.

Haji manara anasema kuwa kitendo cha diamond kulitumia jina la sima vizuri limewashawishi wao kumpa tuzo ya heshima katika siku yake ya kuzaliwa msanii huyo.

Haji Manara anasema “kutumia jinala simba ni kuzidi kutanua brabnd zetu zote mbili, sisi kama club ya simba tunakukabisthi  tuzo ya hsehima lakini pia na keki hii yenye picha ya simba katika kusherekea siku yako ya kuzaliwa.

October 2 msanii diamond husherekea kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa kwake ambapo mwaka huu watu wengi wamempongeza kwa hatua kubwa aliyofikia katika muziki wake lakini pia kwa kuwainua zaidi wasanii wengine.”

 

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.