Hali ya Mzee Majuto si Shwari, Arudishwa Tena Muhimbili

Hali ya msanii mchekeshaji  maarufu na mkongwe tanzania mzee majuto imeripotiwa kurudi kuwa mbaya hivyo kufanya kurudishwa tena hospitali ya muhimbili siku ya leo.

Mkurugenzi wa mawasiliano katika hospitali ya muhimbili aminiel aligaesha , ndie aliethibitisha taarifa za kupokelwa kwa mzee majuto aktika hospitali.

Hii inakuwa ni mara ya tatu kwa mzee majuto kwenda hospitali lakini mara ya pili kurudishwa akiwa na hali mbaya kutokana na  operation aliyofanyiwa iliyosababisha kupelekwa india kwa ajilia ya matibabu zaidi.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.