Hamisa Atupa Dongo Gizani

Mwanadada Hamisa Mobeto amefunguka na kusema kuwa watu wamekuwa na tabaia ya kuonyesha kuwa wanawapenda pindi tu wanapokufa kwa kuwalilia na kuwawekea mashada ya maua wakati walitakiwa kuonyesha huo upendo wakiwa hai.

hamisa analaani kitendo icho na kuona ni kama unafki na kwamba hakuna rafiki wa kweli uniani kwa sababu kila mmoja anakupenda pale unapokua.

Akisema swala hilo bila kulenga mhuiska, Hamisa alifanya hivyo katika snapchat yake huku akisema kuwa “upendo mwingi huja watu wakiona kuwa umekufa, watakuoa maua wakati wanajua kuwa huweiz kuyanusa’ 

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.