Hamisa Mobetto Amuanika Mpenzi Wake Mpya (video)

Mwanamitindo na msanii wa muziki wa Bongo fleva Hamisa Mobetto kwa Mara ya kwanza ameanika video zinazomuonyesha akiwa na mwanaume ambaye anasemekana kuwa naye kwenye mahusiano ya kimapenzi.

Hamisa ambaye hivi sasa yupo nchini Marekani kwa ajili ya ziara yake ya kimuziki ameonekana kupata na penzi jipya kwani ameweka video zinazomuonyesha akiwa na Kijana mwingine huku wakiwa wameshikana mikono na hata baadhi ya video zimewaonyesha wakiwa wamebebana.

https://www.instagram.com/p/Bp6KT4YB095/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=s07nf6psfruv

Mpaka sasa Hamisa hajatoa tamko lolote kuhusu uhusiano wake na  kijana huyo lakini picha na video zimejieleza kuwa inawezekana akawa mtu wa kuziba pengo la Baba watoto wake Diamond Platnumz.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.