“Hamisa Ndio Kiboko Ya Zari”- Maimartha

Mtangazaji mkongwe nchini Maimartha Wa Jesse amerudi tena kwenye headlines za mitandao ya kijamii Baada ya kutoa kauli tata ya Hamisa Mobetto dhidi ya Zarinah Hassan.

Siku mbili zilizopita mlimbwende Hamisa Mobetto alikuwa anasheherekea siku yake ya kuzaliwa na mmoja kati ya watu waliojitokeza kumtakia Birthday njema n Maimartha.

Maimartha Kupitia ukurasa wake wa Instagram alimuandikia ujumbe ambao ulizua maswali kwani alimuhusisha Mobetto na adui yake namba moja Zari ambapo aliandika maneno haya:

Happy Birthday Hamisa Kiboko ya Zari, ulijua kuwaparaganisha na Chibu…Zari alitamani akumeze ishi maisha dill yenye mafanikio”.

 

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.