Harmonize adaiwa kuchepua na Mdada wa Kimasai

Msanii Harmonize anadaiwa kuchepuka na mwanadada kutok nchini  Kenya huku bado akiendelea kuwa na mahusiano na  mchumba wake wa siku nyingi mwanadada Sarah.

Katika mitandao ya kijamii kumekuwa na baadhi ya screenshot za meseji zikiwaonyesha sarah wa harmonize  na huyo mwaname mwingine ambae anaripotiwa kuwa ndio mchepuko mpya wa harmonize wakiwa  wanagombana .

Hata hivyo, kuna picha zimekuwa zikisambaa ambapo msanii Harmonize mwenyewe aliweka katika ukurasa wae wa snapcaht akiwa chumbani  huku akiandika Caption ya jina la mwanadada huyo.

Sarah anaonekana kujua swala hio lakini kutokana na mapenziyae kwaharmonize anashindwa kufanya maamuzi.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.