Harmonize Kupita Tena na Dully Sykes

Msanii wa muziki wa Bongo fleva kutoka katika label ya WCB Harmonize, ameweka wazi nia yake ya kupita tena na kufanya kazi na Msanii mwenzake Dully Sykes.

Harmonize ametangaza ujio wa  ngoma yake inayokuja hivi karibuni aliyomshirikisha Msanii mkongwe wa Bongo fleva Prince Dully Sykes.

Harmonize ameweka wazi kuwa mashabiki wajiandae mkao wa kul kwa sababu ngoma hiyo itakuwa kali kupita maelezo.

Kipitia ukurasa wake wa Instagram, Harmonize ameandika posti hii kuhusu ujio wa ngoma hiyo:

Lakini ngoma hii mpya haitakuwa Kolabo ya kwanza kati ya Harmonize na Dully Sykes kwani siku za nyuma walishawahi kutoa wimbo wa ‘Inde’ uliofanya vizuri kabisa.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.