Harmorapa bado amwongelea Wema Sepetu ata baada ya mrembo huyo kumchapa kiboko

Mwezi moja iliyopita, Harmorapa akiongea na Millard Ayo alidai kuwa anampenda sana Wema Sepetu na ata angependa kufunga naye ndoa.

Wema Sepetu alimjibu rapa huyo kwa kumsomea mwanzo hadi mwisho kwenye ujumbe aliyoandika katika Instagram yake.

Soma pia: Mambo matano ya kuvunja moyo Wema Sepetu aliyomweleza Harmorapa kwenye instagram

Kama ulidhani Harmorapa aliskia kichapo alichopewa na Wema, bado. Rapa huyo anayependa kiki aliongelea ishu ya kudai kuwa anampenda Wema Sepetu alipohojiwa kwenye kipindi cha Ala za Roho ya Clouds FM hivi karibuni.

Tazama mahojiano hayo kwenye video hiyo hapo chini:

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.