Hemed Ajisifia Ufuksa wa Wanawake

Msanii hemed Ph amefunguka hukuakionekana kujisifi sana na tabia yake ya kupenda sana wanawake kuliko kitu kingine.

msanii huyo ambae amekuwa akisika kwa kuwa na idadi kubwa ya wanawake , anasema kuwa katika maisha yake starehe yake kubwa ni wanawake na wals io kitu kingine.

ukiachana natabia ya kupenda wanawake, hemed pia amekuwa akizungumzia sana katika mitandao kuwa amekuwa msanii anaeongoza sana kwa tabia ya kuzaa nje ya ndoa na kuwa na watoto wengi kitu ambacho yeye anasema kuwa haoni shida.

Hemed anasema “mimi sina starehe yoyote , sinywi pombe na wala sivuti sigara, mimi starehe yangu huwa ni mademu tu , kazi yangu ni kugonga tu”

 

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.