Hili ndilo onyo Kifesi alimpea Zari Hassan kumhusu Diamond linalozingua mitandao

Kifesi, mpiga picha official wa Wasafi amekuwa kizungumzio kikubwa sana Tanzania baada ya ujumbe alioutoa unao aminiwa kuelekezwa Zari Hassan.

Kifesi bila kutaja majina alipea onyo wsichana wa bongo wasifikirie kuwa kwenye instagram na kupelekwa safari ndio mapenzi rahisi.

Alieleza kuna wasichana kwenye maisha ya huyo unaye mtambua kama bwana yako ambao hawataki sifa yoyote na wanafurahia kuwa nambari mbili.

Alivyi tamka maneno yake ilionekana ni kama alaikuwa anaelezelea kuhusu Zari na Hamisa Mobetto ambao wanaminiwa kuwa wapenzi wa Diamond.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.