Huddah Monroe Aopoa Njemba La Kiarabu

Socialite maarufu kutoka Kenya Huddah Monroe amefunguka na kudai hivi sasa amefanikiwa kupata mpenzi mpya ambaye ni mwarabu.

Huddah ambaye amejipatia umaarufu kutokana na vituko vyake lakini pia na urembo wake aliweka wazi kuwa kwa sasa yupo Kwenye Mahusiano Kupitia ukurasa wake wa Instagram.

Kwenye mahojiano aliyofanya na mtandao mmoja wa burudani nchini Kenya, Huddah alisema  kuwa yupo Kwenye Mahusiano na mwanaume Huyo wa kiarabu na anampenda sana.

Hudah aliweka wazi suala hilo baada ya kuandika kwenye Mtandao wa Kijamii wa Instagram, kwamba angekuwa nje ya soko kama asingepata mpenzi na kurudi kwenye uhusiano.

Ninashukuru nimepata mpenzi, ambaye tunapendana. Ni Mwarabu na kiukweli ningekuwa nje ya soko kama ningeendelea kuwa mpweke”.

 

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.