Huzuni nyingi katika familia moja hapa Tanzania baada ya mtoto wao kusukumwa ghorofani na bosi wake huko Oman na kufariki

Huzuni imejaa familia moja hapa tanzania baada ya kitendo cha kusikitisha kutendewa mtoto wao.

Inasemekana kwamba mwana dada huyo kasukumwa kutoka ghorofani mpaka chini huko Oman ambako alikwenda kufanya kazi za ndani huku ikidaiwa aliyemsukuma ni bosi wake wa kike.

Mwili wa marehemu umeshawasili nchini kwa ndege.

Kwa taarifa zaidi tazama hapa:

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.