Ifahamu Sababu ya Harmonize Kuita EP yake AFRO BONGO

Msaii wa bongo fleva Harmonize amefunguka na kutoa sababu ya kwanini Album yake ameamua Kuita Afro bongo , album ambayo imetoka hivi karibuni huku ikiwa na wasanii kibao kutoka nchi mbalimbali.

Msanii huyo anasema kuwa pamoja na yote lakini kikubwa kilichomfanya mpaka kuamua kuita hivyo ni kwa sababu muziki wa Afrika unaitwa AFRO na muziki wa Tanzania unaitwa Bongo fleva , hivyo aliamua kuunganisha.

Kwa sababu muziki wa Tanzania unaitwa Bongo fleva na muziki wa afrika unaitwa afro beats, iliamua kuunganisha kwa sababu muziki wetu sio wa Tanzania tu ni muziki wa Afrika.

Hata hivyo harmonize pia alitoa sababu ya kwanini aliamua kutoa album hiyo na kwenda kuzindua nchini Nigria kwa kusema kuwa hata Nigeria pia ni Afrika na kwa sababu muziki huo ni kwa ajili ya afrika basi ndio maana aliamua kwenda huko.

 

 

 

 

 

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.