Ijue Siri ya Diamond Kuchaguliwa Kombe la Dunia

Mara nyingine labda watu wamekuwa wakijiuliza kwanini Diamond achaguliwe katika Kombe la Dunia kuiwakilisha Afrika na wala sio wasanii wengine waliopo Afrika, mbona kuna wasanii wengi tu wakubwa mbao wamekuwa wakifanya vizuri sana lakini hawajachaguliwa mpaka amechaguliwa Diamond.

Raia mmoja kutoka Afrika Kusini ambae ni mdau mkubwa wa muziki barani Afrika anafunguka na kusema kuwa  yeye ndie alipwe jukumu la kutafuta wasanii watano kutoka afrika watakao shiriki kutengeneza wimbo wa kombe la dunia na  kutokana na vigezo alivyokuwa navyo diamond haikuwa rais kuacha kumchagua.

Tim Horwood anasema kuwa diamond ni moja kati ya wasanii walijenga ngome kubwa sana barani A frika kupitiamuziki wake kiasi kwamba hata alipopewa kazi hiyo hakuweza kuacha kumfikilia Diamond Platinumz.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.