Irene Paul “Hakuna Harusi Inayozidi Ndoa Nzuri”

Mwanadada Irene Paul ambae tangu amefunga ndoa na kupata mtoto amekuwa akijitenga sana na skendo katika mitandao ya kijamii huku akijitaidi sana kuwa akitoa ushauri kwa wasichana wengine kutulia na kujitaidi kuficha maisha yao .

Katika ukurasa wake wa instagram, Irene aliandika caption yenye kutoa ushauri kwa watu wanaotaka kufunga ndoa au waliopo katika ndoa kuhusu swala la kuwa wakiamini sana na kufuata maneno ya marafiki bila kujua kuwa siku ndoa yako itakapo haribika hakuna anayeweza kuinganisha zaidi ya wewe na mwanaume wako, Irene aliandika

tamani kupata ndoa nzuri kuliko harusi nzuri,harusi ni yako na wote wanaokujua na wasiokujua pia , wanakuja na kuondoka katika harusi yako , lakini ndoa ni yako pekee yako na mpenzi wako , hakuna harusi inayozidi ndoa nzuri”

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.