Jacqueline Mengi Ashinda Tuzo Nchini Marekani

Mke wa Mfanyabiashara maarufu Reginald Mengi, Jacqueline Mengi ameshinda tuzo ya Stevie Awards za mambo ya biashara kama Mjasiriamali wa mwaka katika kategori ya uzalishaji Kupitia kampuni yake ya Amorette Ltd.

Jacqueline atakabidhiwa tuzo hiyo Oktoberfest 20 mwaka huu mjini London, Uingereza.

Jacqueline Mengi ambaye ni Mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya Amorette, Akizungumzia ushindi wake Kupitia ukurasa wake wa Instagram, amesema amefurahishwa na ushindi huo ukionesha Mchango wake unatambuliwa duniani.

https://www.instagram.com/p/BmXY5kWne4b/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=12k8naxmkbk85

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.