Jay Dee Asema Alitaka Kunywa Sumu Kutokana na Anayoyapitia.

Mwanadada Lady Jay Dee amefunguka na kuweka post katika akaunt yake na kusema kuwa siku kadhaa nyuma zilizopita alitaka kunywa sumu  kutokana na yake anayoyapitia lakini alikuja kuwaza vitu vingi na kujiona kuwa hana sababu ya kufanya hivyo kwa kuwa alishayapitia mengi kabla ya haya.

Katika ukurasa wake wa Twitter, Jay Dee aliandika “jana nilitaka kunywa sumuila kabla sijafanya nikajisuta na kukumbuka  kuwa nitakuwa mjinga kiasi gani , nikajisikitika na kisha nikaacha na hadi leo nipo kigumu gumu  ila bado nipo.

 

Mwanadada huyo ni moja kati ya wasanii wa kike wanaoangaliwa sana historia zao za maisha kutokana na kuwa muhamasidhaji bora wa watu wnegine hasa katika muziki.kuna mengi watu wanapitia na hata yeye yapo mngi aliyopitia pengine yalitaka kumkatisha tamaa.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.