Jibu aliyotoa Ray C kuhusu kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mbunge

Kuna uvumi nyingi kuhusu Ray C, mwimbaji huyo amesemwa mara mingi kwasababu amehushishwa na kashafa kadhaa wa kadhaa.

Hivi karibu kumekuwa na ubuyu kuwa mrembo huyo alijiingiza katika uhusiano wa kimapenzi na mbunge ambaye ameoa.

Ray C

Ray C hata hivyo amekana uvumi huo, amedai kuwa hajawai kujihusisha katika uhusiano wa kimapenzi na mheshimiwa yeyota licha ya kufahamiana na wabunge mbalimbali.

“Kwanza kwa sasa mambo ya mapenzi nimeyaweka kando, niko bize na muziki wangu, akili na hisia zangu zote nimezielekezea kwenye kazi. Muziki ndiyo kila kitu kwangu,” alisema Ray C.

 

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.