Johari Aamua Kuokoka na kutubu

Msanii mkongwe wa bongo movies Johari Chagula amesema kuwa ameamua kuokoka tena  na kuamua kuachana na mambo mabaya amabyo yatamigiza katika dhambi tangu kuanza kwa mwaka huu.Johari amesema kuwa ameamua kuwa karibu na Mungu kwa sasa kwaiyo anaachana na mambo yote yanayoweza kumfanya kuwa katika vishawishi ikiwa ni pamoja na kunywa pombe.

Johari amemwambia mwandishi kuwa amebini kuwa maisha ni mafupi sana kwiao ni bora kuanza kujisafisha mapema maana  na kujiweka karibu na Mungu kwa sababu mungu ndie mueza wa kila kitu.

ninaachana kabisa na mambo ya kiduia kwa sasa nilishafanya mambo mengi yasiyokuwa mazuri na hayakumpendeza Mungu , kama binadamu ninaanza kujipanga  upya na ninasema kabisa kuwa nimeokoka. Alisema Johari Chagula.

Swala la kuokoka kwa Johari au mtu mwingine yoyote inategemea na imani ya mtu huyo hivyo kwa watuwaliopo nyuma yake , tunamtakia kila lenye kheri kwenye maisha mapya ya uokovu.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.