Johari Akimbia Mjini, Aamua Kufanya Kazi Mikoani.

Mwanadada Blandina Chagula maarufu kama Johari amefunguka na kusema kuwa kwa sasa aanaanza kufanya kazi zake mikoani na sio dar tena kwa sababu kuna vipaji vingi mikoani hivyo ameamua kuznguka huko ili kuvitafuta na kufanya kazi.

Johari anasemakuwa kwa muda mrefu amekuwa Dar wakati kazi za sanaa sasa hivi zinalipa sana mikoani kwa sababu kuna vitu vingi vipya vinatakiwa kuonyeshwa ka mashabiki wao na ndio maana yeye ameamua kufanya kazi huko kuliko kukaa tu mjini.

Ni kweli muda mwingi sasa hivi nazunguka mikoani kwa ajili ya kufanya kazi huko,unajua kwa sasa hivi mikoani sanaa ndio inakuwa kwa kasi kwaio kwa mtu anaejielewa anaweza kutumia fursa hiyo katika kutafuta masoko huko  ili kupata fedha kuliko kungangania Dar tu.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.