Jokate Ampokea Hamisa Kisarawe

Mwanadada  ,mwanamitindo na mkuu wa Wilaya aya Kisarawe  Jokate Mwegelo amekuwa moja ya wanawake wachache vijana kwa baadhi ya watu kukimbilia hasa wanapojua kuwa huyo ni kijana mwenzao.

kwa siku iliyopita, mwanadada jamisa mobeto alikuwa akisherekea siku yake ya kuzaliwa ambayo aliamua kusherekea siku hiyo kwa kutoa kitu kidogo kwa wale wahitaji na aliamua kufanya hivyo kwa kwenda katika wilaya  ya Kisarawe ambapo alitoa misaada mbalimbali.

hata hivyo baada ya kufika wilayani hapo , mwanadada Hamisa obeto alipokelewa na mrembo mwenzake, jokate mwegelo na kufanukisha tukio zima la kushereka siku yake na watoyo wenye uhitaji chini ya Mobeto Foundation.

 

 

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.