Kesi ya Wema Kuhairishwa Tena.

Kesi ya mwanadada Sema sepetu imehaishwa tena mpaka mwezi  ujao tarehe 12  ilipokuwa imetajwa na kusikilizwa tena leo katika mahakama ya kisutu.

Mwanadada Wema Sepetu anashitakiwa na TCRA kwa kosa a kuchapisha video chafu akiwa faragha na mpenzi wake  hapo siku za nyuma na wema amekuwa huru kwa dhamana kutokana na kesi hiyo.

Hata hivyo kesi hiyo bado inaonekana kumtesa Wema ukizingatia kuwa hana muda mrefu tangu amekuwa na ksei nyingine ya kukutwa na madawa ya kulevya.

 

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.