Kim Nana Ajikanyaga Baada Ya Kuulizwa Kuhusu Penzi Lake na Tbway

Video queen maarufu kwenye tasnia ya Bongo fleva Kim Nana ambaye alikuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi staa wa Bongo fleva Diamond Platnumz amejikuta akijikanyaga Baada ya kuulizwa kuhusu Penzi lake jipya.

Kwa muda wa Wiki chache sasa kumekuwa na tetesi kuwa Kim Nana yupo kwenye mahusiano ya kimapenzi na Mtangazaji wa East Africa Television Tbway 360.

Gazeti la Risasi Jumamosi linaripoti kuwa Kim Nana kwa sasa yupo kwenye penzi jipya na mtangazaji huyo ambapo siku ya Valentine mwanadada huyo alimnunulia Tbway saa na mwanaume huyo alimpa viatu.

Mmhh! Vile viatu nimenunuliwa na mpenzi wangu siku ya Valentine ndiyo. Hapana siwezi kumtaja Mpenzi Wangu”.

Baada ya Kuulizwa kuhusu uhusiano wake  na Tbway Kim Nana alijikanyaga na kukata simu ambapo amekataa kabisa kuongelea mahusiano hayo.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.