Kisa Wema , Wolper Amwita Esha Mnafiki

Baada ya kuvuja kwa picha chafu katika mitandao ya kijamii na kusababisha  mambo kuwa mengi na hata siri nyingi kuvuja baina ya wasanii waliowaji kuwa marafiki Wema na Irene, mwanadada Esha Buheti aliamua kumuandikia wema barua ya wazi kuhusu matendo yake huku akisema kuwa yeye ni moja ya mashabiki zake na amekuwa akiumia sana kila anapoona kuna jambo baya juu yake.

hata hivyo baada ya kuandika ujumbe huo mwanadada Jackilene Wolper alimtolea povu Esha na kumwambia kuwa pamoja na kwamba ameumia lakini alitakiwa amfuate Wema private na sio kuongea mambo hayo hadharani.

 Wolper alisema ‘baby esha anaeumia na wema anaumia inbobo na watu wake na aanakosa hata ya kuandika insta lakini paka umepata nguvu ya kuandika insta humu mmmmh yaangalie vizuri maumivu yako yana chembechembe za virusi za unafiki, am soleee.

Baada ya kuandika hivyo katika uwanja wa maoni katika ukurasa wa esha buheti, esha ane aliamua kumjibu kwa kumwambiakuwa kama wema amekuwa akifanya mambo hayo bila siri haina haja ya kumshauri kwa siri .

yeye anapost inbox? nakuheshimu sana na sijawahi kukuvunjia heshima so plz na umeona kuna lolote bayaanimeongea , nakuomba sana sana jackie, niache nakuheshimu sana sanaa.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.