Kivazi cha Kitenge Kilivyotawala Party ya WCB( +Picha)

Wikiendi hii ilikuwa ni party ya wasanii kutoka WCB wakimkaribisha rasmi msanii mwenzao aliyekuwa katika kundi la ya moto band kabla band hiyo  haijavunjika Maromboso.Mboso amekaribishwa na kutambulisha wimbo wake mpya alioanza kuufanyia kazi akiwa WCB.wasanii wa lebel hiyo walitoka kipekee kwa kuhamua kutupia kivazi cha kitenge kama inavyoonekana.

Diamond akiwa na Maromboso katika kivazi cha kitenge.

Rayvanny na Fayma (mama mtoto wake) katika kivazi cha kitenge.

Esma Platinumz na mume wake Petit wakiwa katika pozi kuelekea katika party ya WCB.

Harmonize na mzungu wake wakiingia ukmbini na baadhi ya wageni katika kivazi cha kitenge.

Rommy Jonns akiwa ametupia suruali ya kitenge na kikofia kwa juu.

Queen Darleen akiwa amevaaa kigauni chenye nakshi ya kitenge pembeni.

Mama Diamond na baadhi ya wageni katika muonekano wa kitenge halisi.

Mrembo Tunda katika muonekano wa kitenge nae alikuwepo.

 

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.