Laizer Athibitisha Lugha Haimpi Shida Kuwasiliana.

Mtayarishaji wa muziki toka WCB, amefunguka na kusema kuwa hapati ugumu wowote kuwasilianana na wasanii wa WCB kwa sasa kwa sababu amejifunza na kujua kile wanachokongea tofauti na hapo awali ambapo ilikuwa ni vigumu kwake.

Laiza amesema hayo akipiga stori na Bongo5 hivi karibuni ambapo ameeleza kila msanii anaenda naye sawa.

Kwa sasa hivi sipati ugumu wowote labda kwa kipindi ambacho hatujazoeana ugumu ulikuwepo lakini kwa sasa hivi wote tunaelewana lugha, kwa hiyo hakuna ugumu,” amesema.

Hivi karibuni Laiza alifunguka kabla ya kuanza kufanya kazi Wasafi Records alishafanya kazi na wasanii kama Ice Prince kutoka Nigeria, Ommy Dimpoz, Alikiba na Marehemu Sharo Milionea.

 

 

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.