Linah Sanga agoma Kuolewa Sasa Hivi , Anataka Kula Bata Kwanza

Mwanadada Linah Sanga amefunguka na kusema kuwa kwa sasa wala haitamani kabisa ndoa kwa sasa anataka kufanya mambo mengine kwanza na kupumzika sana.

linah anayasema kayo ikiwa ni miezi kadhaa tu imepita tanfu alipoweka hadharani kuwa ameachana na baba wa mtoto wake ambae pia alikuwa ni meneja wake kwenye kazi zake.

naatamani sana kupata mwanaume mwenye mapenzi, matunzo na mwenye kujali sana, sitamani hata kuolew akwa sasa nataka nichill tu kwanza

Ikumbukwe kuwa linaha aliwahi kuwa katika mahusiano ambayo alitangaza kuwa yeye na mwanaume huo watafunga ndoa pamoja na kwamba walikuwa na dini tofauti kwa sababu ni baba wa mtoto wake ., lakini ghafal alikuja na kutangaza kuwa hawapo pamoja tena.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.