Madee Ali – Ni Ruksa Mwanangu Kufananishwa na Mai

Msanii mkongwe wa muziki wa Bongo fleva Madee Ali amedai ni ruksa kwa watu kumfananisha mwanaye mdogo anayejulikana Kama ‘Chonge’ na Mtoto muigizaji Mai Zumo.

Kwenye mahojiano aliyofanya na Gazeti la Ijumaa Wikienda, Madee amesema kuwa hana neno pale anapoona watu wanafananisha Mtoto Wake na Mai Zimo kwani duniani wawili wawili.

Nimekuwa nikiona mara nyingi watu wakimfananisha binti yangu Chonge na huyu mtoto mchekeshaji Mai Zumo, ni kweli wanafanana na huwa sichukii kwa sababu ni jambo la kawaida.

Lakini Pia duniani watu wawiliwawili, hivyo Mungu akitujalia, basi itabidi wafanye kitu cha pamoja ili tutengeneze pesa.”

Mtoto wa Madee, Chonge na Mai Zumo mara kadhaa wamekuwa wakifananishwa kwenye mitandao ya kijamii kutokana na sura zao kufanana.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.