Maisha ya Mitandao Yanatesa Wengi:-Rose Ndauka.

Mwanadada kutoka bong movies Rose Ndauka amefunguka na kusemakuwa maisha wanayoishi watu katika mitandao yanawapa matesi sana kutokana na ukweli kuwa wengi wao hawaishi yale maisha yao ya kiuhalisia na kuishia kuiga vitu ambavyo kwa namna moja ama nyingine sivyo walivyo.

Akitoa maoni yake kuhusu matumizi ya mitandao ya kijamii Rose Ndauka anasema ‘ maisha ya mitandao yanatesa wengi na wengine kusahau kabisa uhalisia watu na kupotea  na kujiona kuwa wao ndio wanahaki ya kila kitu.jamani tuwe makini na hii sehemu inayotukutanisha wengi , nadhani hata walioweka walikuwa na  nia nzuri”

Maneno ya Rose ndauka yanaweka ukweli uliopo bayana kabisa kwa maisha ya sasa ya mitandaoni ambapo watu wamekuwa wakijitahidi kuishi maisha yasiyo yao ilimradi tu kuwafurahisha au kuwaonyesha wengine wana uwezo wa kufanya kitu flani.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.