Mama Diamond- Sitakubali Diamond Apotezwe na Mwanamke

Mama Mzazi wa staa wa Bongo fleva Diamond Platnumz, Bi Sandra maarufu kama Mama Diamond ameweka wazi kuwa hataruhusu mwanaye apotezwe na wanawake wanabe.

Kauli hiyo ya Mama Diamond imekuja baada ya maneno maneno mengi kuzuka baada ya yeye kushangilia Diamond kurudiana na Zari huku akijua wazi kuwa yupo na Hamisa.

Mama Diamond ameweka wazi kuwa hamtaki Hamisa kama mkwe wake kauli iliyosababisha mashabiki kumjia juu kwa kitendo chake cha kutaka kumchagulia mtoto wake mke.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram Mama Diamond amesema wazi kuwa hawezi kukubali kuona Diamond anapotea na yeye kama mzazi yupo kwa ajili ya kumuweka katika njia iliyonyooka:

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.