Mama Kanumba Amsifia Wema Sepetu

Mama wa msanii marehemu Steven kanumba amekuwa akitoa maoni mara kwa mara kuhusu tasnia ya sanaa nchini na jinsi ambavyo wasanii na marafiki waliokuwa karibu na mtoto wake wanavyomchukulia kwa sasa tangu alipofariki.

Mama huyo anasema kuwa wasanii wengi waliwahi kusaidiwa ili kunyanyuka na mtoto wake lakini wasanii hao kwa sasa hakuna hata mmoja anaemkumbuka kanumba na mbaya zaidi wanakuwa wakiona hata aibu kusema katika itandao kuwa waliwahi kusaidiwa na kanumba.

Hata hivyo mama huyo anasema kuwa katika wasanii wote amekuwa akimpenda sana Wema sepetu ambae amekuwa hoani aibu kusema kuwa alisaidiwa sana na Kanumba mpaka kuwa msanii.

Katika watu pekee ninaowapenda ni Wema Sepetu kwa sababu amekuwa akikumbuka sana fadhila za mwanangu marehemu Steven kanumba.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.