Maneno ya Dogo Janja Kuhusu kifo Chake

Msanii wa bongo flea Dogo Janja amefunguka  na kuwataka watu kuwa na upendo  na watu pale wanapkuwa hai na sio kusbiri mpak pale watakapokufa ndo waanze kulia na kusema kuwa walikuwa ni wapendwa wao.

katika kurasa wake Dogo Janja aliandika “siku nikifa utataoa machozi lakini mimi sitayaona,utaleta maua lakini mimi sitayapokea, utanisifai asna lakini mimi sitakusikia utanisamehe makosa yangu lakini mimi sitayajua , utanimisi sana lakini sitafahamu na utauzinika sana lakini sitakuona.

Dogo janja ametaka watu kuwa wakweli wa  wale wanaowapenda kabla hawajakufa na sio kujifanya mnafiki kuonyesha kuwa unampenda mtu akiwa tayari hajuia wala haoni kile unachokifanya.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.