Maneno ya Jux kwa Vannesa Yalivyowafurahisha Mashabiki.

Inaweza ikawa ndio couple bora katika mtandao kwa sasa bongo kutokana na ukaribu wao na mapenzi wanayoonyeshana wote wawili, inaweza kusemekana kuwa nguvu kubwa ya mashabiki inawafanya waendelee kudumu katika mahusiano hayo kwa sababu kipindi wamekosana mashabiki wengi walionyesha kuumia   na hata kupaza sauti ili wawili hao warudiane.

Kelele kubwa ya sasa kutoka kwa mashabiki sasa hivini wawili hao kuharalisha mahusiano yao na kufunga ndoa ili kuthibitisha kuwa wapo pamoja muda wote, kila wanapoweka picha katika mitandao mashabiki wamekuwa wakiweka maoni yenye kuonyesha kufurahi kuwaona pamoja wawili hao.

Wikiend hii Jux aliweka picha akiwa na vannesa mdee huku wakiwa katika pozi moja matata la kimahaba ambalo liliwakosha mashabiki wengi wa wasanii hao ambao ni wapenzi , lakini pia kikubwa kilichowavutia ni  maneno matamu Jux aliyoyaandika kwa Vannesa Mdee.

Ninachotaka kuona ni tabasamu  na furaha yako siku zote #bestfriend alafu don’t change your hairstyle  nazipenda saaana.-Aliadika Jux katikaukurasa wake wa instagram.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.