Mashabiki Wampiga Dongo Wastara Mwezi huu wa Ramadhani.

Mwanadada wastara amekumbwa na maneno mazito katika mitandao ya kijamii baada ya kuweka picha yake akiwa anasali na ndipo watu walipoanza kumshambulia kwa maneno na kumwambia kuwa mtu mwenye imani kweli ya dini hawezi kufabya alivyofanya yeye  wakati anasali.

moja ya shabiki wake wanaomfuata aliandika maneno ya kumshushua wastara huku akisema”sasa wewe unasali au unaonyesha watu kuwa wewe ni mcha mungu na kama unaamua kufanya hivyo kama kuna mashindano basi umechemsha,kila kitu unaweka instagram, eeh umechemsha.”

Mashabiki wamekuwa wakikwerwa na tabia za wasanii kuweka picha na kutangaza kila kitu wanachofanya katika mitandao ya kijamii na kuwatolea maneno makali.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.