Masogange Alikwepa Gereza,.

Mwanadada Agness Masogange amelikimbia gereza baada ya kesi yake ambayo hukumu yake ilitolea siku ya tarehe o3 March mwaka huu kumtaka kutumikia kifungo cha miaka miwili jela baadaya kukutwa nahatia ya kutumia madawa ya kulevya au kutoa faini ya shiling milion 1.5 kama faini ya hukumu hiyo.

Hata hivyo, faini hiyo ambayo ilitakiwa kutolewa mara baada ya hukumu la sivyo agnes alitakiwa kusekwa gerezani ilipatukana na kutolewa papo kwa papo na kumfanya Agnes kuwa huru na kutolewa .

Agness amekuwa akifatilia kesi hiyo kwa kipindi cha mwaka sasa baada ya kukumbwa na sakata la utumiaji wa madawa ya kulevya , kampeni ambayo iliendeshwa  na mkuu wa mkoa wa Dar Es Salaam na wasanii wengi walikumbwa na mkasa huo.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.