Matukio Ya Harusi Ya Zabibu Kiba Kwenye Picha

Zabibu Kiba ambaye ni dada wa staa wa Bongo fleva Ali Kiba ameolewa siku ya jana na Staa wa Taifa Stars na mchezaji wa Baroka FC ya Afrika Kusini Abdi Banda.

Ndoa hiyo imefungwa katika msikiti wa Sanene Tabata jijini Dar es Salaaam baada ya shamra shamra za sherehe za wiki nzima ambapo Ali Kiba alionekana kama mtu ambaye amemuoza dada yake.

Hizi ni baadhi ya picha za matukio ya ndoa hiyo iliyofungwa alfajiri na mapema:

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.