Maulid Kitenge Amshauri Diamond Ajipange.

Mtangazaji maarufu wa media moja hapa nchini  Maulid  Kitenge amefunguka na kumshauri  msanii damond platinumz kuacha kub weteka anapokuwa jukwaani na kufanya kama wanavyofanta wasanii wengine na kuacha kufatiliza kuimba kwa nyuma katika CD.

Maulid amemshauri iamond baada ya show yake ya wiki iliyopita , show ambayo ililalamiki wa na baadhi ya mashabiki kuwa badala ya kwenda huko ni bora hata wangelala na sio kile walichokiona ambavho hawakukitegemea kabisa.

Maulid anamwambia Diamond kuwa ‘ Wakenya hawataki kabisa  hayo, wakenya wanataka uimbe na sio kuwiambisha wao playback” 

Hii inakuja baada ya wasaii wengi bongo kshindwa kufanya muziki wa live band wanapokuwa jukwaani wakitengea DJ na CD za kugandamizia.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.