Mc Pilipili Asubiri Diamond Aoe

Mchekeshaji na mc maarufu katika shughuli mbalimbali mc pilipili ambae alweza kumvisha pete ya uchumba mpenzi wake hivi karibuni amefunguka na kusema kuwa anakaa anasubiri msanii diamond platnumz aoe na ndipo yeye pia ataamua kufunga ndoa.

Ndoa ya Diamond ambayo ilitangazwa kuwa ingefanyika February 14, imeshindwa kufanyika tena kwa sababu mwanamuziki huyo amesogeza mbele bila kusema itakuwa lini.

Mc pilipili amba alitrend sana katika mitandao baada ya kumvsiha mke wake huyo mtarajiwa pete anasema kuwa foleni yake inategemea foleni ya diamond platinumz.

Mc pilipili anasema kuwa amsikia Diamond atafunga ndo pale uwanja wa Taifa hivyo na yeye anasubiri Diamond akishafanya mambo yake basi na yeye atakamilisha ya kwake.

 

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.