Mc Pilipili Atoa Onyo Kali Kwa Wanaommendea Mchumba Wake

Mchekeshaji MC Pilipili amefunguka na kuwamwagia Povu zito wanaume wote ambao watakuwa wanamnyemelea Mpenzi Wake Philomena Thadey ‘Mina’.

Siku chache zilizopita Mc Pilipili alitengeneza headlines Baada ya kuangua kilio wakati anamvalisha pete Mpenzi Wake ambapo alisema ilikuwa ni Furaha.

Lakini siku chache Baada ya tukio hilo Mc Pilipili amewatolea Povu wanaume wakware wote ambao wameanza kumtolea macho mpenzi wake Baada ya kuona amemgharamikia ikiwemo kutoa mahari  ya milioni 8.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Mc pilipili ameweka video hii ambayo amewatahadharisha ambao walikuwa wanammendea mchumba Wake:

https://www.instagram.com/p/BsV-GpOgF2f/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=1xmhvk6r5v53q

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.