Meneja Wa WCB toa Tamko kuhusu EP Ya Harmonize

Meneja wa WCB Sallam K amefunguka na kusema kuwa ile album ya Harmonize ambayo ilitangazwa kutoka hivi karibuni huku ikitazamiwa kuwa ni wiki hii haitatoka tena mpaka wiki ijayo kwa sababu za mashabiki na mipango ya kibiashara.

Meneja huyo amesema kuwa wameamua uplea mbele swala hilo kwa sababu wanataa pale inapotoka iwe ina uwezo wa kuwafikia mashabiki owte bila kubagua , hivyo wanajaribu  kutengeneza mazingira ya matabaka yote uweza uipata EP hiyo.

Hata hivyo sallam k anasema kuwa wameamua kufanya hivyo kwa sababu kama kiwanda lazima kuwe na uataratibu mzuri wa kuuza na kusambaza bidhaa zao kwa watumiaji.

Hata hivyo kucheewa kwa kutoa kwa EP hiyo kumezua mambo mengi ikiwepo la usema kuwa Harmonize hayupo tena katika Lebo hiyo na ndio maana swala hili limekuwa gumu kitu ambacho wao wenyewe wanakanusha na kusema sio kweli.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.