Mimi Niko tu Hivyo Kiuno Kimebinuka ;-Hamisa

Mwanadada Hamisa Mobeto amefunguka na kuzungumzia swala la mitandao ya kijamii kuwa wanamzungumzia kuwa amekuwa na tabia ya kupiga picha na kubinua kiuno.

Katika maoni ya mashabiki wengine wamekuwa wakimwambia kuwa amekuwa hakijibinua sana ili aoekane kuwa ana makalio wakati hana makalia kama walivyo wasanii wengine wa kike.

hata hivyo Hamisa amewajibu kuwa hilo sio kosa lake kwa sababu yeye ndio ameumbwa hivyo na Mwenyezi Mungu.

sio kama ninajibinua lakini nadhani pia kwa sababu ma-model wa bongo wanaokiki huwezi kuacha kuzungumzia hamisa ,  sometimes unakuta hata photographer anakwambia do this or do that,  lakini pia u akuta kuwa mimi ndo nilivyoumbwa na mwenyezi mungu niko tu hivyo, na siku zote wanasema kama haujaumbwa huwezi kuumbua.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.