Monalisa Apewa Tuzo ya Heshima Nchini Marekani

Mwanadada monalisa maeibuka tena kidedea baada ya kupewa tuzo ya heshima nchini mrekani alikuwa amekwenda katika tamasha la wasanii wa afrika lililofanyika nchini humo.

Monalisa akithibitisha hilo kwa kuweka tuzo hiyo katika ukurasa wake wa instagram anasema kuwa hakujua chochote kuhusu tuzo hiyo na kwake imekuwa jambo la kushtukiza lakini anaona kabisa kuwa kumbe hata yeye anajulikana na kuheshimika sana huko nje.

katika ukurasa wake wa instagram, mona lisa aliandika “Namshukuru sana mungu kwa aliyonitendea na wala sikujua chochote kuhusu tuzo , nilialikwa kama host tu  kwa usiku wa tuzo, kumbe TAFF walikuwa na lengo la kunizawadia tuzo ya heshima pia , sijui niseme nini mimi mtoto wa Natasha  watu wa nje wananielewa hivi kwa kitu ninachofanya kwa nchi yangu,Hizi ni hisia nisizoweza kuzielezea kabisa.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.