Monalisa Kukutana Jukwaa Moja na Bofeda wa Nollywood

Mwanadada Monalisa nyota yake ya uigizaji inazidi kungaa na kuzidi kuifanyia vizuri nchi ya Tanzania baada kutegemea kukutana na msanii mkubwa kutoka nigeria katika jukwa moja nchini Marekani hivi karibuni.

Katika tamasha hilo linalotegemewa kuanza June 29 , monalisa atakuwa moja ya washiriki katika tamasha hilo la Afrika Film Festival na kukutana na bofeda kutoka Nigeria akiwa kama host wa tamasha hilo,

Monalisa atakutana na wasanii wengi kutoka nchi mbalimbali Afrika  huku yeye akiwa ndio msanii pekee kutoka tanzania, hii inaweza kutokana na umaridadi mkubwa alionao Monalisa lakini pia kutokana na kushinda tuzo ya african pestigious award mapema mwaka huu.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.