Mpinzani Wangu Alikuwa Ngwea :-Chid Benz

Msanii mkongwe wa bongo fleva nchini Chid benz amefunguka na kusema kuwa katika maisha ya usanii kila msanii anakuwa na wimbo wake ambao unakuwa mkubwa na wa kumfanya atambulike sana kuliko wimbo mwingine na hakuna mtu anaweza kukataa hilo.

Hata hivyo Chid anasema kuwa pamoja na hayo kwa upand wae anaamini kuwa ngoma ambayo ilimfanya kukaa na kutambulika sana katika gemu ni ngoma ya Dar es salaam stand up ambao ulimfanya kupata mashabiki wengi sana,

Hata hivyo Chid anasema kuwa kwa anavyoamini yeye , hakuna msanii mwingine anaweza kulinganishwa na yeye zaidi ya marehemu Ngwe a ambae alikuwa anaona kuwa ndie aliekuwa akimkimbiza sana katika game la muziki kipindi hicho na hakuna mwingine anaweza kutokea.

 

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.