Msanii Kone Nouhoum Kutoka Kenya Amefariki Dunia

Msanii aliyewahi kufanya vizuri katika tasnia ya filamu nchini Kenya KONE,  amefariki Duniasiku ya February 27 alipokuwa bado akiendelea na matibabu nchini Kenya baada ya kupata ajali ya gari iliyosababisha kuvunjika kwa baadhi ya viungo vyake hasa shingoni.

Msanii huyo alikuwa akipatiwa matibabu na bado wasanii wenzake walijitahidi kwa hali na mali kwa ajili ya kupata pesa kwa ajili ya matibabu yake ambayo yalikuwa yakiendelea hopsitali.

Tunatoa pole kwa wasanii, familia na wanasaa wote kwa ujumla  hasa katika kipindi hiki kigumu MwenyeziMungu awatie nguvu.

 

 

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.