Mshindi wa BSS Kuzawadia Milion 50

Kiongozi wa mashindano ya muziki ya BSS Tanzania Madam Ritha ametangaza kuwa zawadi kubwa atakayopewa mshindi ni shilingi milioni 50 za kitanzania ingawa pesa hizo hatopewa zote kwa mara moja.

Madam Ritha anasema kuwa wameamua kutoa pesa hizo kwa  awamu kwa sababu  kumekuwa na washindi ambao hawanufaiki na pesa hizo hasa wanapokabidhiwa zote kwa mara moja.

Akifafanua kwa undani zaidi, Madam Ritha anasema kuwa Mshindi atakuwa akipewa pesa hizo kila mwezi shilingi mil 1.2 lakini milion 5 za mwanzo atakabidhiwa kwa mara moja siku ya tukio.

Hata hivyo pia msanii huyo aatanza kufanya kazi chini ya Switch Rekodi ambao wameweza kuwakabidhi kwao na tayari walishasaini mkataba tayari.

 

 

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.