Mtu Kufuatilia Mambo ya Wengine Utakuwa na Kasoro Kubwa Sana.:-Chin Bees

Msanii wa bongo fleva Chin Bees ametoa yake ya moyoni kuhusu tabia ya baadhi ya wabongo  kukaa na kuwa wanafatilia mambo ya watu bila kuwa na uhakika nayo na kuanza kuyatangaza hadharani.

Chin bees anasema kuwa hiyo nikasoro kubwa sana kwa sababu kwa hali ya kawaida mtu mwenye maisha ya kawaida huwezi kukaa na kufatilia mambo ya watu na wakati huohuo unakuta hata  yale ya kwako yanakuwa bado hayajakaa sawa lakini unakuwa  unakosoa ya wenzako.

kama mtu unakuwa kazi yako kufatilia maisha ya wenzako basi wewe unakuwa na kasoro kubwa sana, huwezi kukaa unaongelea mambo ya mtu miwngine wakati wewe mwenyewe ya kwako yanakuwa hayajakaa sawa.

Chin bees anasema kuwa watu wenye tabia hizo waache na kuanza kujifunza kujali yale yanayowahusu tu.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.