Muna Afungua Patrick Foundation ya Mwanae.

Mwanadada Muna love amefanikiwa kufungua Foundation yake itakayo itwa Patrick Foundation ambayo itakuwa na kazi ya kusaidia watoto wenye matatizo mbalimbali katika jamii huku lengo kubwa ikiwa ni kwa ajili ya kuwasaidia  na pia kumkumbuka mtoto wake.

Muna amekuwa akiguswa sana na kutokuwepo kwa mtoto wake huyo ambae  alifariki mwaka huu, hivyo Muna aliamua kufanya hivyo kama kuguswa na watoto wanaoteseka mitaani .

Dhumuni la muna inadhihirika sana pale aliapoanza kutembea mikoa mbalimbali kwa ajili ya kusaidia watoto hao  waliopo mitaani na wale walio wagonjwa ambao wamekuwa wakikosa misaada ya kiafya na pia kielimu.

 

 

 

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.