Nandy Aweka Sanaa Pembeni Baada ya Skendo Yake

Mwanamuziki wa bongo fleva kutoka Nyumba ya vipaji (THT) Nandy amejikuta katika wakati mgumu baada ya video yake ya ngono na msanii mwenzake Billnas kuvuja siku ya jana Nandy bado yupo katika wakati mgumu.

Tangu video hiyo ivuje  siku ya jana Nandy ameweka wazi hisia zake na amesema mara kwa mara kuwa hayupo vizuri na yupo katika wakati mgumu huku akielezea kuwa amelia sana na anaendelea kuomba radhi.

Mchana huu Nandy ametumia ukurasa wake wa Instagram kuwagombanisha radhi Tena mashabiki zake familia na hata BASATA na serikali Lakini pia ameweka wazi kuwa anaweka sanaa kando kwa sasa mpaka atakapokuwa vizuri.

[ajax_load_more]

 

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.